Msaada kuhusu bussiness plan

msomso

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
464
Reaction score
152
Ndugu wanajamvi napenda kuwaomba mnipe wazo hivi ukiwa na business plan unaweza kopa benki sababu ndugu wanajamvi Mimi namtaji Wa milioni moja pamoja pikipiki boksa tu.Naomba mawazo yenu wakuu.
 
Ndugu wanajamvi napenda kuwaomba mnipe wazo hivi ukiwa na business plan unaweza kopa benki sababu ndugu wanajamvi Mimi namtaji Wa milioni moja pamoja pikipiki boksa tu.Naomba mawazo yenu wakuu.

Hii inaweza kukusaidia kupata picha kwamba business plan inakuwaje, nimeshindwa kupata maelezo ya kishwahili lakini nafikiri wanajf wako pamoja nawe.

[h=1]How to Write a Business Plan for a Bakery[/h]http://smallbusiness.chron.com/write-business-plan-bakery-59348.html
 
Ndugu wanajamvi napenda kuwaomba mnipe wazo hivi ukiwa na business plan unaweza kopa benki sababu ndugu wanajamvi Mimi namtaji Wa milioni moja pamoja pikipiki boksa tu.Naomba mawazo yenu wakuu.

Nyoosha maelezo mkuu unataka kufanya nini, na biashara unayotaka kufanya inacost kiasi gan kwa makadilio
 
Business Plan ni mchanganuo wa jinsi utakavyo fanya biashara yako.
Ukiwa nayo una uwezekano mkubwa wa kukopa benki kirahisi na wakakukubalia wao hawana tatizo cha msingi uwe na collatral ambayo itakuwa ni dhamana ya huo mkopo wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…