Msaada kuhusu chuo

Sikukatishi tamaa ila I.T na tel kwa sasa hazina soko...
Kama unataka uhakika wa kazi nakushauri usome kozi ya usanifu majengo au ciliv eng.
 
ha ha ha ha ha!!! kaka raia_mwema ana ushauri mzur sana... ukitaka ukimailza tu ufanye kazi na baadae uwe na uwezo wa kujiajiri kama ukitaka...! nenda kasome civil engineering!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…