Msaada kuhusu CPSP exams!

kagarara

Senior Member
Joined
Nov 23, 2010
Posts
118
Reaction score
9
Wadau naomba mnisaidie kuhusu ni lini mwisho wa kulipia mitihani ya board utakaofanyika mwezi wa tano. Plz nisaidie make mm niko mkoa na nimejaribu web ya board sijaona.
 
Wadau naomba mnisaidie kuhusu ni lini mwisho wa kulipia mitihani ya board utakaofanyika mwezi wa tano. Plz nisaidie make mm niko mkoa na nimejaribu web ya board sijaona.

ni tarehe 28/2/2012 hata hivyo nakushauri uangalie website yao www.psptb.org.tz
 
Nimejaribu sana lakini kwenye web yao hawajaweka mwisho ni lini. Naomba uhakika zaidi kutoka kwenu wadau.
 
Tarehe ya mwisho ya kujisajili kufanya mitihani ya Bodi (Examination Registration) ni Machi 31 kwa mitihani ya mwezi Mei na tarehe ya mwisho ya kujisajili kuwa mtahiniwa wa Bodi (Candidacy Registration) ni Februari 28.
Baada ya tarehe hizo utapaswa kulipa faini ndani ya wiki mbili kwa kila siku utakayokuwa umechelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…