feni_mbovu
Member
- Aug 5, 2017
- 7
- 1
Mara ya kwanza nilihisi ni moyo nimeenda muhimbili nimechek moyo hauna tatizo pia wakanipima damu kuangalia tatizo but hakuna ila miguu inawaka moto sana sielewiUmeonana na daktari?
Ndio maana nimeuliza kutaka kujua coz nimeusoma huu ugonjwa na nikaangalia dalili zake ni kuathiri joints na sehemu kama moyo n.k kwangu ndio naona hizi dalili miguu kuuma joint zangu mpaka kwenye mabega na mikono mpaka miguu pia huumaNani kakwambia kua ni rheumatoid arthritis?
Ndio maana nimeuliza kutaka kujua coz nimeusoma huu ugonjwa na nikaangalia dalili zake ni kuathiri joints na sehemu kama moyo n.k kwangu ndio naona hizi dalili miguu kuuma joint zangu mpaka kwenye mabega na mikono mpaka miguu pia huumaNani kakwambia kua ni rheumatoid arthritis?
Asante nitazingatiaPima maleria kwa nguvu nyingi sanaaaa! pia kupumzika, ulaji,mawazo+mazingira yakazi vichunguze kwa makini
Sent using Jamii Forums mobile app
Zingatia kwa matendo usingatie kitanzania zaid kwasababu mazingira yetu yamekaa kitapeli sana.....
Anhaa owkay, me nakushauri uende hosp. ukafanyiwe vipimo ili lijulikane tatzo nin. Na kama Rheumatoid arthritis ni vizur ukawai mana unavyochelewa ndo unaweza pata shida kubwa zaid.Ndio maana nimeuliza kutaka kujua coz nimeusoma huu ugonjwa na nikaangalia dalili zake ni kuathiri joints na sehemu kama moyo n.k kwangu ndio naona hizi dalili miguu kuuma joint zangu mpaka kwenye mabega na mikono mpaka miguu pia huuma
Sent using Jamii Forums mobile app
SawaAnhaa owkay, me nakushauri uende hosp. ukafanyiwe vipimo ili lijulikane tatzo nin. Na kama Rheumatoid arthritis ni vizur ukawai mana unavyochelewa ndo unaweza pata shida kubwa zaid.
First aid tumia Zincovit au nutravit ziwe za maji.Nasumbuliwa na tatizo la kuumwa ns joints za parts kwenye miguu hasa vidole vya miguu joints za mapaja hips now maumivu yanaanza kuelekea kama kwenye uti wa mgongo msaada wenu
Sent using Jamii Forums mobile app