Habari zenu wanajamvi
..Inafahamika yakuwa dhamana ni haki ya mtuhumiwa je wale askari wanaodai pesa ndio watoe dhamana nitawashtaki wapi?
pia kama walinishika pesa kwa ajili ya dhamana na kesi ikaisha nina uwezo wakwenda kuwashtaki tena au kuna muda maalumu kwa shtaka lao
naombeni msaada weledi wa sheria
..Inafahamika yakuwa dhamana ni haki ya mtuhumiwa je wale askari wanaodai pesa ndio watoe dhamana nitawashtaki wapi?
pia kama walinishika pesa kwa ajili ya dhamana na kesi ikaisha nina uwezo wakwenda kuwashtaki tena au kuna muda maalumu kwa shtaka lao
naombeni msaada weledi wa sheria