Msaada kuhusu DNA.

Msaada kuhusu DNA.

Joined
Nov 18, 2013
Posts
29
Reaction score
15
Habari za leo ndugu.

Nahitaji kujua hivi inaweza kunigharim shilingi ngapi kupima DNA? Nahisi nabebeshwa mzigo usio wangu hivyo nataka nipate uhakika ili kama ni mwanangu nimlee kwa moyo mkunjufu. Ila sijui lolote kuhusu DNA. Msaada tafadhali.
 
Mbona kuna watu wanalea watoto wasio wao na maisha yanaenda? Wewe lea tu
 
Habari za leo ndugu.

Nahitaji kujua hivi inaweza kunigharim shilingi ngapi kupima DNA? Nahisi nabebeshwa mzigo usio wangu hivyo nataka nipate uhakika ili kama ni mwanangu nimlee kwa moyo mkunjufu. Ila sijui lolote kuhusu DNA. Msaada tafadhali.
Kipimo cha DNA kinapatikani kwa mkemia mkuu wa serkali pekee na gharama zake utazijua ukifika huko.
 
Kipimo sio ishu ila ishu kupata huo ukweli wa DNA kwavle ukienda hela yako hawakatai ila tu wanapunguza watoto wa mitaani so lazma usakiziwd cheche otherwise labda kama una mtu unayemuamin sana ndio atakupa majibu sahihi
 
Habari za leo ndugu.

Nahitaji kujua hivi inaweza kunigharim shilingi ngapi kupima DNA? Nahisi nabebeshwa mzigo usio wangu hivyo nataka nipate uhakika ili kama ni mwanangu nimlee kwa moyo mkunjufu. Ila sijui lolote kuhusu DNA. Msaada tafadhali.
Angalia tu mikono yako na ya watoto wako mistari ya pingili za vidole na mistari ya kwenye kiganja lazima ifanane aidha na wewe ama mama. Sasa kazi ni kuipata ya mama. Mpige picha akilala ama akilegea wakati wa kugegedana halafu kalinganishe na ya wanao
 
Kipimo sio ishu ila ishu kupata huo ukweli wa DNA kwavle ukienda hela yako hawakatai ila tu wanapunguza watoto wa mitaani so lazma usakiziwd cheche otherwise labda kama una mtu unayemuamin sana ndio atakupa majibu sahihi
This means a lot to me man wangu. We pia naona unaelewa ninavyojisikia. Ila umenisaidia sana apa. Thanks.
 
Habari za leo ndugu.

Nahitaji kujua hivi inaweza kunigharim shilingi ngapi kupima DNA? Nahisi nabebeshwa mzigo usio wangu hivyo nataka nipate uhakika ili kama ni mwanangu nimlee kwa moyo mkunjufu. Ila sijui lolote kuhusu DNA. Msaada tafadhali.
Ila mtoto hana hatia kama kazaliwa na mkeo we lea tu.
 
Kweli kabisa mkuu, naelewa mtoto hana hatia na angekuwa kazaliwa ndani ya nyumba yangu wala nisingembagua kabisa. Ila huyo dada sijamuoa na isitoshe yeye yuko Dar na me naishi Moshi.
 
Ila mtoto hana hatia kama kazaliwa na mkeo we lea tu.
Kweli kabisa mkuu, naelewa mtoto hana hatia na angekuwa kazaliwa ndani ya nyumba yangu wala nisingembagua kabisa. Ila huyo dada sijamuoa na isitoshe yeye yuko Dar na me naishi Moshi.
 
Niliwahi kusikia ni kati ya shillingi 700,000 hadi 1,000,000/- sasa sijajua kama wamebadilisha au vipi
 
Back
Top Bottom