Huyo hajui hayo mambo acha kukaza fuvu bwege wewe kutwa IT wa bongo kwani yeye alikwambia ni ItIT wa tanzania mna vituko, hosting ya nini?, umetumia PL gani?, database?, cache etc
IT was Tanzania sio?IT wa tanzania mna vituko, hosting ya nini?, umetumia PL gani?, database?, cache etc
💥OFFER-OFFER-OFFER BAABKUBWA💥Wakuu kama kichwa kinavojieleza hapo, naomba mwenye kufahamu niwapi nitapata cheapest domain.
Pia,ninahitaji kujua mfumo mzima kama hosting inakuaje na gharama zake.