Msaada Kuhusu Duka la vifaa vya matumizi ya nyumbani

Msaada Kuhusu Duka la vifaa vya matumizi ya nyumbani

WENYELE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,433
Reaction score
1,442
Wakuu
Nina mpango wa kuanzisha Duka angalau linisaidie kuzungusha kamshahara kangu haka ka ualimu.Nahitajiwa nifuate taratibu zipi ili nifungue duka? Pia natakiwa niwe na mtaji wa shilingi ngapi? Duka langu litakua ni la kuuza vitu vya matumizi ya kila siki ya nyumbani pekee.
Asanteni
 
Back
Top Bottom