Msaada kuhusu entry za grade A

kindili kindili

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2013
Posts
242
Reaction score
54
Wadau naombeni msaada hapa.. hivi kuna namna yoyote mtu ambaye hajafanya vema form four anataka kufanya grade A akapata zile foundation course kama ambavyo kwenye course nyingne zipo? I mean kwenye vyuo vinavyotoa grade A kuna vikozi vingne vidogo dogo vinavyoweza kumfanya ambaye hakufanya vema ku pata vigezo vya kuingia Grade A? NAOMBA SANA KUSAIDIWA KATIKA HILI

natanguliza shukrani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…