SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,027
- 5,344
Kuna gari ipo Sokoni ni Mazda Premacy na ipo hapa Tanzania, Dar. Gari hii inamilikiwa na Afisa mmoja wa Ubalozi na plate namba yake ni ya kibalozi. Kwahiyo kama nahitaji kununua lazima niifanyie usajili pamoja na ushuru kama nilivyoambiwa na wadau wengine nje ya JF. Bei anayo niuzia ni US $3000 ambayo ni zaidi ya Tsh 4.8m.
Year: 2001
Millage: 81300
Cc:1600
Msaada
1.Je? Nikisajili pamoja na ushuru itakuwa jumla TSh. ngapi?
2. Mazda ni imara? pia upatikanaji wa spare ukoje?
Sababu ya kuuzwa ni anataka aondoke kwenda nchini kwakwe muda wake wa kufanya kazi hapa TZ umekaribia kwisha.
Msaada tafadhali nimeipenda hiyo gari.
Year: 2001
Millage: 81300
Cc:1600
Msaada
1.Je? Nikisajili pamoja na ushuru itakuwa jumla TSh. ngapi?
2. Mazda ni imara? pia upatikanaji wa spare ukoje?
Sababu ya kuuzwa ni anataka aondoke kwenda nchini kwakwe muda wake wa kufanya kazi hapa TZ umekaribia kwisha.
Msaada tafadhali nimeipenda hiyo gari.