Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vyema ukasema nyumba yako tarajiwa inaukubwa gani, vyumba vingap etc ili iwe rahis mtu kukupa makadilio ...Habari za asubuhi wazee,
Naombeni makadrio ya gharama za fundi kwenye ujenzi wa Msingi, ukuta, mpaka bati kwa wale wazoefu wa hizi kazi.
shukrani sana1: Site iko wap
2: Nyumba ya ukubwa gan
Tafuta mafund watatu wakupe bei alafu utafute average
Nyumba inavyumba vinne, kimoja master, Dinning, jiko na store ndogoNi vyema ukasema nyumba yako tarajiwa inaukubwa gani, vyumba vingap etc ili iwe rahis mtu kukupa makadilio ...
Mkuu ukifika hatua ya rangi nitafute kwa skimming bora pamoja na decoration mbali mbali. Tembelea Instagram page yangu ya; James paint and decoration 2257.hutojuta kukutana na mimHabari za asubuhi wazee,
Naombeni makadrio ya gharama za fundi kwenye ujenzi wa Msingi, ukuta, mpaka bati kwa wale wazoefu wa hizi kazi.
Mkuu ukifika hatua ya rangi nitafute kwa skimming bora pamoja na decoration mbali mbali. Tembelea Instagram page yangu ya; James paint and decoration 2257.hutojuta kukutana na mimi
andaa 5MHabari za asubuhi wazee,
Naombeni makadrio ya gharama za fundi kwenye ujenzi wa Msingi, ukuta, mpaka bati kwa wale wazoefu wa hizi kazi.
Ungeweka mchanganuo Chiefandaa 5M
Tatizo MTU unapoteza muda kushusha mahesabu alafu boss anapita kushoto😂Ungeweka mchanganuo Chief
Mawe trip / tofali ngapi
Mchanga trip ngapi
Cement mifuko mingapi
Nondo ngapi
Na ufundi / labour charge kiasi gani
nipo boss bado nafuatiliaTatizo MTU unapoteza muda kushusha mahesabu alafu boss anapita kushoto😂
susha madininipo boss bado nafuatilia
Vyumba vi 3 kimoja master, sebule, Dining, na jikoWeka ramani ya nyumba.
Ndivyo ilivyo mkuu,Tatizo MTU unapoteza muda kushusha mahesabu alafu boss anapita kushoto[emoji23]