Msaada kuhusu gharama za upasuaji MOI

kuroiler

Member
Joined
Jul 5, 2015
Posts
50
Reaction score
24
Naomba kuuliza gharama za upasuaji wa Mifupa MOI ikoje Kuna bro wangu alitibiwa kienyeji sasa mfupa unaunga vibaya, hivyo anapaswa kuvunjwa na kuungwa upya
 
Naomba kuuliza gharama za upasuaji wa Mifupa MOI ikoje Kuna bro wangu alitibiwa kienyeji sasa mfupa unaunga vibaya, hivyo anapaswa kuvunjwa na kuungwa upya
Pia mchakato mpaka unapata huduma ukoje??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…