Nina mpango wa kuchukua hati ya nyumba yangu,sasa mke wangu anataka tuandikishe majina yetu wawili ili isomeke wamiliki ni familia,sasa nauliza je ikitokea mkaachana hatuombei ila imetokea kisheria itakuwaje?je nitakuwa nimefanya kosa kumshirikisha kwenye hati? kwa wenye uzoefu na wanasheria naomba msaada nisije juta baadaye,