Habarini wadau.
Naomba kujuzwa juu ya hili:
Kama mtu amerithi kiwanja ambacho kilishapimwa na kina hati ila kwa bahati mbaya ile hati ilipotea...anatakiwa afwate taratibu gani ili aweze kuipata nyingine.
NB:
Kiwanja kilishapimwa.
asanteni sana
Nenda Polisi,watakupa Loss Report,kisha uwe na ushahidi wa kutosha kuhusu Urithi wa hicho kiwanja,pia nenda na details za hicho kiwanja kwa Registrar of Titles!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.