Msaada kuhusu Hati Miliki iliyopotea

Msaada kuhusu Hati Miliki iliyopotea

RALO

Member
Joined
Jan 31, 2012
Posts
46
Reaction score
13
Habarini wadau.
Naomba kujuzwa juu ya hili:
Kama mtu amerithi kiwanja ambacho kilishapimwa na kina hati ila kwa bahati mbaya ile hati ilipotea...anatakiwa afwate taratibu gani ili aweze kuipata nyingine.
NB:
Kiwanja kilishapimwa.
asanteni sana
 
Nenda Polisi,watakupa Loss Report,kisha uwe na ushahidi wa kutosha kuhusu Urithi wa hicho kiwanja,pia nenda na details za hicho kiwanja kwa Registrar of Titles!
 
Back
Top Bottom