Landala
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 997
- 478
Habari wana JF,
Naomba kusaidiwa endapo ikitokea mtu amepoteza au ameibiwa hati yake ya nyumba au imeungua na moto, je baada ya kutoa taarifa polisi na kupewa loss report je akienda ofisi za ardhi kuna uwezekano wa kupewa hati nyingine tena?
Naombeni kusaidiwa hilo.
Naomba kusaidiwa endapo ikitokea mtu amepoteza au ameibiwa hati yake ya nyumba au imeungua na moto, je baada ya kutoa taarifa polisi na kupewa loss report je akienda ofisi za ardhi kuna uwezekano wa kupewa hati nyingine tena?
Naombeni kusaidiwa hilo.