Hiyo hela yako hata kodi peke yake achilia mbali graama za F.O.B na CIF haitoshi.Nashukuru maana nahitaji gari aina ya suzuki Escudo nina 7.5m mpaka kutoa bandarini.
Unaagiza gari wakati rais anabana matumizi, tumia daladalaKatika kusaka namna ninavyowexa kupata walau ka gari ka kutembelea nilikuta kampuni inaitwa Sbt japan wauzaji wa magari kutoka japan.
Kabla cjafanya Order je ni kweli ni kampuni makini na iliyosajiliwa.Waliniambia wana tawi Tz dar.Mwenye ugakika nisije ingizwa mkeng'e.
Asanteni.
Nashukuru maana nahitaji gari aina ya suzuki Escudo nina 7.5m mpaka kutoa bandarini.
Kiwanja Chanika ni Tshs 2,000,000/-
Tofali 2000 msingi ni Tshs 2,000,000/-
Cement mifuko 100 ni Tshs 1,350,000/-
Fundi &Kuchimba ni Tshs 800,000/-
Inayobaki Fanya Kokoto, maji, vitendea kazi nk
Kiwanja Chanika ni Tshs 2,000,000/-
Tofali 2000 msingi ni Tshs 2,000,000/-
Cement mifuko 100 ni Tshs 1,350,000/-
Fundi &Kuchimba ni Tshs 800,000/-
Inayobaki Fanya Kokoto, maji, vitendea kazi nk
Nipe maelezo ya kutosha mkuu.