Msaada kuhusu HELSB

Msaada kuhusu HELSB

Mdenya blood

Member
Joined
Apr 27, 2015
Posts
51
Reaction score
5
Msaada tafadhali wakuu kuna mdau mmoja aliomba mkopo heslb but hakupata mwaka jana alimua kukacha masomo na hvyo anataka kuanza process za kuanza tena chuo,Je akiomba mkopo atapata form six kamaliza 2012 form four 2009.

Msaada wakuu jamaa bado ana mzuka na chuo sema ndo hivyo mwana wa mkulima bundle halisomi.
 
Ngoja waje wenyewe watatufahamisha kwasababu ishu hiyo inawakumba wengi,hivyo maelezo mazuri yatawasaidia na wengine pia.
 
Kwani vigezo vya kupata mkopo ni nini?
 
Kasomaa masomo gani advance??hataa ivyoo kuna new guidelines za heslb imetoka kadownload soma uone vigezo vyao
 
Back
Top Bottom