Wakuu Naomba kuuliza kama Kwenye account yako ya sipa kuna allocation ya meals and accommodation pamoja na tuition fee!
Ila hakuna disbursement wala check number.
Na hujapata message ya boom shida inakuwa ipo kwa loan officer AU shida inakuwa Kule board ya mikopo?
Mana loan officer chuoni kwetu anajibu Kwa kujisikia sana, naombeni ufafanuzi ili nikajilipue.
Ila hakuna disbursement wala check number.
Na hujapata message ya boom shida inakuwa ipo kwa loan officer AU shida inakuwa Kule board ya mikopo?
Mana loan officer chuoni kwetu anajibu Kwa kujisikia sana, naombeni ufafanuzi ili nikajilipue.