Msaada kuhusu hii kesi ya ardhi

sergey

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2012
Posts
217
Reaction score
55
Wasalaam Wandugu, Ningependa Kupata Msaada Wa Kisheria Kwenye Kesi Yangu Ambayo Hukumu Ilisomwa Tarehe 12 Mwezi Wa Tatu Na Kuonyesha Mi Ndo Mshindi Dhid Ya Jiran Yangu Aliyejenga Kwenye Eneo Langu. Cha Kushangaza Siku Ya Kuchukua Hukumu Ikiwa Kwenye Makaratasi Naonekana Mi Ndo Nimeshindwa Na Haki Kapewa Mwenzangu. Hii Kesi Imefanyika Kwenye Baraza La Wilaya La Nyumba Na Makazi. Naomba Msaada Wenu
 
Nadhani hapo utakuwa umekosea wewe au mchapaji kakosea basi na huyo mwenyekiti wa baraza kasaini Bila kuangalia vizuri hukumu yake

Chakufanya
1: mrudie na umuelezee, anaweza kuangalia upya alichokiandika, mashahidi wako walisemaje, ushahidi uliotoa wewe pia km unakidhi
2:unaweza ku-appeal (kukata rufaa) ngazi za juu zaidi
3: unaweza omba marejeo (revision) ya maamuzi hayo

Nb: kazi hizo mpe wakili mkuu. Ndo profession zetu, ili usaidiwe kwa umakini mkuu na pia haki si kutendeka tu Bali kuonekna kutendeka. Ni hayo tu. Pole sana
 
Shukrani Mkuu Kwa Ushauri Wako Ntaufanyia Kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…