Musundi JF-Expert Member Joined Dec 21, 2016 Posts 1,584 Reaction score 2,613 Jan 10, 2018 #1 Haka ka-wimbo ka tangazo lao la Smartika kanaishaje pale mwisho sijui? Najaribu kukasikiliza kwa makini lakini nashindwa kuelewa wanamaliziaje. Mnh...nisaidieni wenzangu mnaosikiliza vizuri zaidi!
Haka ka-wimbo ka tangazo lao la Smartika kanaishaje pale mwisho sijui? Najaribu kukasikiliza kwa makini lakini nashindwa kuelewa wanamaliziaje. Mnh...nisaidieni wenzangu mnaosikiliza vizuri zaidi!
Me I and my self JF-Expert Member Joined Sep 16, 2016 Posts 4,077 Reaction score 8,828 Jan 10, 2018 #2 Labda hii ya coca cola itakufaa Onja msisimkooooooo........
Obugwa Izoba JF-Expert Member Joined Nov 16, 2013 Posts 10,033 Reaction score 10,622 Jan 10, 2018 #3 Kanaisha kwa mdundo
msigazi JF-Expert Member Joined Sep 1, 2017 Posts 467 Reaction score 349 Jan 10, 2018 #4 Anakuwa ananifurahisha yule mwenye tai ndogo shingoni
Musundi JF-Expert Member Joined Dec 21, 2016 Posts 1,584 Reaction score 2,613 Jan 10, 2018 Thread starter #5 Matamshi ndio namaanisha sio picha
Alonso14 JF-Expert Member Joined Aug 6, 2017 Posts 1,785 Reaction score 1,817 Jan 10, 2018 #6 Umeshapata mpenzi?
M Mlanga JF-Expert Member Joined Jun 7, 2014 Posts 1,023 Reaction score 467 Jan 10, 2018 #7 Alonso14 said: Umeshapata mpenzi? Click to expand... Kwani anatafuta mpenzi!?
Alonso14 JF-Expert Member Joined Aug 6, 2017 Posts 1,785 Reaction score 1,817 Jan 11, 2018 #8 Mlanga said: Kwani anatafuta mpenzi!? Click to expand... Ndio