Ngiyememya
Member
- Sep 28, 2017
- 5
- 1
Habari zenu wanna Jf
Mimi ni kijana mjasiliamali nafanya biashara zangu ndogo ndogo za mtaaa kwa mtaa, nimekuja kwenu nahitaji uelewa coz nahitaji kununua pikipiki aina ya Boxer 150 sasa naombeni Kama my anayeifahamu vizr anifafanulie iko vipi kiundani kwasababu nimeendesha baiskeli mpaka nimechoka sasa nahitaji chombo Cha kurahisisha na kuleta ufanisi katika biashara yangu. Nakaribisha maoni
Mimi ni kijana mjasiliamali nafanya biashara zangu ndogo ndogo za mtaaa kwa mtaa, nimekuja kwenu nahitaji uelewa coz nahitaji kununua pikipiki aina ya Boxer 150 sasa naombeni Kama my anayeifahamu vizr anifafanulie iko vipi kiundani kwasababu nimeendesha baiskeli mpaka nimechoka sasa nahitaji chombo Cha kurahisisha na kuleta ufanisi katika biashara yangu. Nakaribisha maoni