Hafinasa online
Member
- Sep 14, 2014
- 22
- 3
Habari zenu wanajamvi, kama kuna mtu anaelewa kuhusu hii coz(technology in agriculture) inayo tolewa chuo cha st joseph kuanzia masomo yake yakoje,sehemu ambazo naweza kupata kazi na chengine chochote kinacho husiana na hii coz afunguke hapa
Natanguliza shukurani wakuu
Natanguliza shukurani wakuu