Msaada kuhusu hili

elias godfrey

Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
35
Reaction score
6
habare zenu wakubwa heshima kwenu mm ni kijana ambae niko certificate course ya accountancy ktk chuo cha utumishi wa umma nahitaji kufahamishwa kuhusu ni GPA gn nzuri ambayo mwanafunzi anatakiwa kuipata na kwa mfano mtu akitaka kuhama chuo kwenda chuo kingine ni GPA gn ambayo wanazingatia kumpokea mtu aliehamia???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…