kigori wa kilwa
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 483
- 149
Kwa jinsi zinavyofanya kazi me naeza guarantee kwamba zitazuia.... Ila cna uhakika asilimia 100Habari wanajamvini... samahani rafiki yangu ameniuliza swali nimeshindwa kumjibu nikaona sio vibaya nilete hapa mtusaidie....
alikuwa kwenye danger akasex baada ya hapo siku ya tatu baada ya sex usiku akanywa dawa hizo màana walisema 72 hrs maana (siku tatu) sasa kesho yake akasex tena na ilikuwa bado yupo kwenye danger data na jamaa alimwaga ndani sasa anauliza je alivyokunywa zile dawa zinaweza kuzuia asipate tena mimba au anywe zingine ??? Nimeshindwa kumjibu maana mie mwenyewe sio mtaalamu sana wa hizo dawa... tumsaidie huyu binti
Ni rafiki yako au wewe mwenyewe kigori wa kilwaHabari wanajamvini... samahani rafiki yangu ameniuliza swali nimeshindwa kumjibu nikaona sio vibaya nilete hapa mtusaidie....
alikuwa kwenye danger akasex baada ya hapo siku ya tatu baada ya sex usiku akanywa dawa hizo màana walisema 72 hrs maana (siku tatu) sasa kesho yake akasex tena na ilikuwa bado yupo kwenye danger data na jamaa alimwaga ndani sasa anauliza je alivyokunywa zile dawa zinaweza kuzuia asipate tena mimba au anywe zingine ???
Nimeshindwa kumjibu maana mie mwenyewe sio mtaalamu sana wa hizo dawa... tumsaidie huyu binti
Tumsaidie nini yaan anajua yupo kwenye danger akasex akanywa dawa sawa kabisaHabari wanajamvini... samahani rafiki yangu ameniuliza swali nimeshindwa kumjibu nikaona sio vibaya nilete hapa mtusaidie....
alikuwa kwenye danger akasex baada ya hapo siku ya tatu baada ya sex usiku akanywa dawa hizo màana walisema 72 hrs maana (siku tatu) sasa kesho yake akasex tena na ilikuwa bado yupo kwenye danger data na jamaa alimwaga ndani sasa anauliza je alivyokunywa zile dawa zinaweza kuzuia asipate tena mimba au anywe zingine ???
Nimeshindwa kumjibu maana mie mwenyewe sio mtaalamu sana wa hizo dawa... tumsaidie huyu binti
Mbn kama ni wewe mwenyewe unazunguka tu kusema ni rafiki yako pole subili matokeoHabari wanajamvini... samahani rafiki yangu ameniuliza swali nimeshindwa kumjibu nikaona sio vibaya nilete hapa mtusaidie....
alikuwa kwenye danger akasex baada ya hapo siku ya tatu baada ya sex usiku akanywa dawa hizo màana walisema 72 hrs maana (siku tatu) sasa kesho yake akasex tena na ilikuwa bado yupo kwenye danger data na jamaa alimwaga ndani sasa anauliza je alivyokunywa zile dawa zinaweza kuzuia asipate tena mimba au anywe zingine ???
Nimeshindwa kumjibu maana mie mwenyewe sio mtaalamu sana wa hizo dawa... tumsaidie huyu binti
Ni best bana ebana alikunywa nashukuru sanaNi rafiki yako au wewe mwenyewe kigori wa kilwa