Msaada kuhusu hizi dawa p2

kigori wa kilwa

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2013
Posts
483
Reaction score
149
Habari wanajamvini... samahani rafiki yangu ameniuliza swali nimeshindwa kumjibu nikaona sio vibaya nilete hapa mtusaidie....

alikuwa kwenye danger akasex baada ya hapo siku ya tatu baada ya sex usiku akanywa dawa hizo màana walisema 72 hrs maana (siku tatu) sasa kesho yake akasex tena na ilikuwa bado yupo kwenye danger data na jamaa alimwaga ndani sasa anauliza je alivyokunywa zile dawa zinaweza kuzuia asipate tena mimba au anywe zingine ???

Nimeshindwa kumjibu maana mie mwenyewe sio mtaalamu sana wa hizo dawa... tumsaidie huyu binti
 
Kwa jinsi zinavyofanya kazi me naeza guarantee kwamba zitazuia.... Ila cna uhakika asilimia 100
 
P2 ni emergency contraception tabs ambazo hufanya kazi ya kuzuia mimba within 72 hours after the intercourse. Haziwezi kuzuia pregnancy kama zitatumiwa kabla ya tendo. So inabidi utumie dose nyingine kabla ya masaa 72.
ZINGATIA: matumizi yaliyokithiri ya P2 huweza kupelekea kupata Asthma, heart failure, depression kisukari.........
Vilevile P2 huaribu mzunguko wa hedhi ya mwanamke hivyo mtumiaji anapaswa kurejea kalenda yake upya.
Wasalaam
 
Ni rafiki yako au wewe mwenyewe kigori wa kilwa
 
Tumsaidie nini yaan anajua yupo kwenye danger akasex akanywa dawa sawa kabisa

Alaf akasex tena amedhamiria kupata mimba na apate tu azae mada nyingine mkae nazo tu huko!
 
Kama hataki mimba si bora atoe kiboga tu ijulikane moja sasa unapiga show tena unajua ni siku ya hatari halafu unataka ushauri ili iweje.

Huyo rafiki yako inaelekea ana genye sana mpaka anshindwa kujizuia.
 
Nikisomaga hizi mada huwaga naweweseka kwa kweli hasa kichwa cha chini
 
Mbn kama ni wewe mwenyewe unazunguka tu kusema ni rafiki yako pole subili matokeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…