Msaada kuhusu huu uelewa..soma hapa

ndupa

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2008
Posts
4,403
Reaction score
148
Habarini wakuu,
Nataka kumuagizia mtu gari lakini ni mtumishi wa serikali na ana tax exemption right.lkn sasa uelewa wake kuhusu hayo mambo ni mdogo sana.sasa ameniomba nimsaidie kumuagizia sasa na mimi hapo kwenye masuala ya tax exemption kwa bahati mbaya nakauelewa kadogo..
Sasa nia ya kuja hapa jamvini ni mnisaidie kujibu maswali yafuatayo,
1.naagiza gari ya mwaka 2001/5,je gari iliyovuka miaka 10 (yr of manufacture ina tax exemption)??
2.Na kama ina tax exemption ni gharama gani nyingine nitakazolipia gari litakapofika bandarini (yani kulitoa)??
Naomba kuwasilisha..
 
BUSIMINET COMPANY LIMITED
Po.box 12659
Kinondoni-Dar es salaam

Tanzania
Mob: 07 65 90 10 93 / 06 58 12 31 58
E-mail: busiminet@gmail.com
Website: busiminet.blogspot.com
OUR SERVICES: Tax, Business, IT, Accounting &Bookkeeping and Other services
TAX
1.Assist in preparation and submission of Returns to TRA
2.
Assist in estimation and determination of tax liabilities.
3.Online Returns submission and Payment Registration with TRA.
4.
Assist in Tax Payment processing.
5.Reminding about due dates for Tax payment and Other Tax/Statutory compliance.
6.
Tax health-checks
7.
Processing transfer or change of ownership with TRA
8.
Assist in filing and submission of TRA forms.
9.
Assist in Applications for Requesting Tax exemption.
10.
Tax consultation and advisory.
BUSINESS

1.
Assist in business licenses registration with municipals, ministries and other Government bodies.
2. Assist in business name, NGO's, Succoss and Company registration with BRELA.
3.
Preparation of Business Proposal, Constitution, Memorandum, Article of Association and Company Profile

4.Preparation of business plans
5.
Business Restructuring
6.Loan processing
7
.
Business consultations
8.
Preparation of Research proposals

IT AND RELATED SERVICES
GRAPHIC DESIGN
1.
Logo,Bill boards, Posters.
2.
Business cards, Identity cards (ID).
3.
Brochures Flyers, Invitation cards.
4.
Calendar,Product label Magazines
5.
Photo Editing and Retouching Special Envelope, Movie covers
6.
Website, Blogs and Systemdesign and development
7.
Computer maintenance
8.
Computer software installation
9.
Network designing and installation
10.CCTV installation
11.
AC installation and maintenance

ACCOUNTING AND BOOK-KEEPING SERVICES
1.Stock counting
2.
Preparation of bank reconciliations
3.
Preparation of annual financial statements complying with International Financial Reporting Standards.

4.Posting of financial transactions from source documents , (IFRS).
5.
Preparation of budgets and management reports.
6.
Payroll services (preparation of the payroll including pay slips)
7.
How to keep books of account

OTHER SERVICES
1.
Mining
2.
Marketing and advertisement
3.
Education
4.
Agricultural activities
5.
Gas activities
6.
Cargo clearing
7.
Legal consultancy
8.
Staff recruitment & Out-Sourcing
9.
Project management and analysis
10. Training and workshops to Enterpreneurs, scholars and other groups that need to excel in their business

Business in the smooth environment ensures growth


okoa muda,okoa pesa na kuza biashara yako kwakuhudumiwa na Busiminet co.ltd

 

Tax exemption inatolewa kwa gari ambazo zipo chini ya umri wa uchakavu kwa maana ya miaka 8,Kwahyo Inabidi kuagiza gari ya 2007 kuja juu

Tax exemption unapewa msamaha wa exercise duty na import dute(Sina hakika sana hapa),ila VAT na registration unalipa. Ingia website ya TRA utapata taarifa kamili. Kwa kawaida huwa unachukua fomu TRA halafu anaijaza na kuipeleka kwa mwajiri wake aweke sahihi then inapelekwa Wizara ya fedha pamoja na documents za manunuzi ya gari,Kwahiyo inabidi ulipie gari kwanza na usubiri documents za gari zitume we then una ambatanisha na fomu unazituma hazina.

Wadau watanirekebisha nilipo teleza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…