Kwanza umekosea timing yako katika umezaji, hilo ni kosa namba moja.
Pili huwezi kupewa hiyo dawa bila maelezo ya daktari, hilo ni kosa namba mbili hukumsikiliza daktari vizuri wakati anakuelewesha.
Mwisho kabisa mambo ya infertility siyo madogo kihivyo mpaka unaendekeza uzembe.