Msaada kuhusu job termination

Msaada kuhusu job termination

Dhahir

Senior Member
Joined
Sep 1, 2013
Posts
133
Reaction score
54
Kama mkataba ni wa mwaka mmoja na unaishia tarehe 31 December, mkataba unasema mwisho wa mwaka unaweza ukarenew. Je, mwajiri anatakiwa akujulishe lini kwamba hataendelea na wewe kwa mwaka utaofuata? Je kama amechelewa kukujulisha kwamba hatakuwa na wewe kwa mwaka unaofuata tena bila kosa lolote, mwajiriwa unatakiwa uchukue hatua gani?
 
Back
Top Bottom