Msaada kuhusu kesi za ndoa

Msaada kuhusu kesi za ndoa

Kisiwa

Senior Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
125
Reaction score
20
Naomba msaada wakuu
Tulikoroshana na my wife 2008 mwaka mmoja tu baada ya kufunga ndoa ya kikatoliki. Akarudi kwao na kubeba baadhi ya vitu vyake. Tukaendelea na mawasiliano huku tukijaribu ku reconcile. Imeshindikana kurudi na nikaamua kuomba talaka na yeye akakubali. Tukaanza ustawi tukapewa go ahead tulikuwa tumekubaliana. Tukaenda baraza la usuluhishi mwenzangu akaanza kubadilika, hataki tena talaka. Na mimi nikasema simtaki kabisa, hivyo nikapewa hati niende mahakamani
Sababu za kuomba talaka
1. Hatupo pamoja tangu 2008 kwa madai kuwa mimi si mwaminifu
2. Ni mkatili mno . amewahi kunifungia ndani mara tatu kwa zaidi ya masaa 8.

Naomba maoni kama kesi hii nitashida au la. whether mimi nipewe talaka au yeye nimpe talaka, kati ya hiyo ni ushindi kwangu. Niko tayari kugawana mali atakazothibisha kuwa ni zetu. Mimi nakaa bukoba na yeye dar na hajawahi kufika tangu nimehamia huko mara baada ya yeye kuondoka tulipokuwa tukiishi awali yaani Singida

Je kesi huchukua muda gani na je kuna ulazima wa mashahidi?
Naweza kuiomba mahakama isikilize kesi yangu mfululizo? Ni ngumu kuja dar mara kwa mara kutokana na gharama za usafiri, malazi na mambo ya kikazi ofisini

Natanguliza shukrani
 
Ulishaoa mke mwingine?
Kisheria hamna ndoa hapo(kwa huyo unaemuita 'mke mwingine') maana ndoa ya kwanza haijavunjwa bado. Hivyo hilo halitokusaidia wewe.

Swala la yeye kuwa katili laweza kukusaidia iwapo utaweza kuthibitisha usemayo, pia ukatili wenyewe uonekane kwamba ni ukatili haswa. Otherwise tegemea huyo mama kukusumbua sana kwakua anaweza kugeuza kesi against you kwa kuishi na "KIMADA". Anaweza tumia hicho kama kisingizio cha yote utakayoshtaki dhidi yake.
 
sasa wewe umekosea,kuoa kabla ya divorce,kumbuka ndoa za kikristo huwa hazivunjiki mpaka kifo.
 
mi naungana na mchangiaji wa kwanza kwamba bado ndoa yako na mwanamke wa kwanza ingali hai kwa kua haijavunjwa kisheria hivyo kitendo cha wewe kuishi na kuzaa na mwanamke mwingine kinaweza kutafsiriwa kisheria kuwa ni uzinzi "Adultary" na hivyo mkeo anaweza kushtaki na kuomba talaka kwa kosa la wewe kutokua mwaminifu, so ili kuivunja ndoa hiyo kwako itakua vigumu japo kitendo cha kufungiwa ndani kinaweza kutafsiriwa kisheria kama " False imprisonment" hata hivyo kosa hili halikidhi kuvunja ndoa. pili kwa kua ndoa yenu ni ndoa ya kikristo ambayo inaongozwa na msingi wa biblia ambapo biblia inakataza kuvunjika kwa ndoa (Talaka) isipokua kwa ugumu kabisa endapo kosa la uzinzi litabainika aidha mwongozo wa quran kitabu kinachosimamia iman ya kiislam kinatoa masharti magumu kabisa kwa wanandoa kutalikiana. Kimsingi vitabu hivi kwa mwongozo wa mungu vinaelekeza kuzuia madhara yanayotokana na wenza kuachana ambapo kwa msingi wa vitabu hivi kufungiana ndani hakukidhi kuvunjika ndoa. sasa kwa upande wa kidunia ili uweze kuivunja ndoa hiyo ni vyema ukaongea na mkeo umwombe aridhie kukuacha ili yeye atumie kosa lako la uzinzi kuvunja ndoa hiyo na mahakama itaivunja. but wewe mwenyewe kwa kulazimisha sioni utapenyaje .
 
Asanteni wakuu. Suala la kuoa nilitaka kutumia kama kigezo ktk court nikidhani itanisaidia but kimsingi sijaoa ila nina mtoto nje ya ndoa. Na ex wangu anafahamu. So kigezo cha kuoa baada ya kusoma comments hapa sikukisema. Tatizo lililonikuta baada ya kupewa barua ya wito mwenzangu aligoma kuisaini. Nikaipeleka chuoni kwake ambako anasoma na akaitwa. Akaichukua nakudai akaisome halafu atairejesha kwa principal ila hakufanya hizo. Sasa hapo wakuu nifanyeje? Nikaiambiaje mahakama incase asipofika?
 
hii ni proffessional za watu sa wewe unadanganya unafanya kama riwaya rejeo mtu hulipi hta kidogo.hem iheshm hii kaz za watu pia tunatumia muda kujb hyo maswal so jirekebishe. Kama hatakuja utapewa muongozo wa kuthibitisha kwa upande mmoja ( exparte).tumia sababu za kukorofishana ili ushinde pia omba umtunze mtoto kama utapenda,usiseme kma una watoto wengine nje ya ndoa.
 
hii ni proffessional za watu sa wewe unadanganya unafanya kama riwaya rejeo mtu hulipi hta kidogo.hem iheshm hii kaz za watu pia tunatumia muda kujb hyo maswal so jirekebishe. Kama hatakuja utapewa muongozo wa kuthibitisha kwa upande mmoja ( exparte).tumia sababu za kukorofishana ili ushinde pia omba umtunze mtoto kama utapenda,usiseme kma una watoto wengine nje ya ndoa.

Mkuu LLB nashukuru. Yote haya ni kwa kuwa sheria si fani yangu. Bahati mbaya sana mtoto nilishamtamka katika maelezo yangu kule baraza la usuluhishi. Da hii imekula kwangu. Ila naweza kataa
 
Last edited by a moderator:
KUCHI; kitendo cha wewe kuishi na kuzaa na mwanamke mwingine kinaweza kutafsiriwa kisheria kuwa ni uzinzi "[I said:
Adultary[/I]" na hivyo mkeo anaweza kushtaki na kuomba talaka kwa kosa la wewe kutokua mwaminifu .
Mkuu hebu nieleweshe athari kisheria kati ya yeye kuomba talaka na mimi kuomba talaka maana kama ni mali nipo tayari hata kumwachia zote na mtoto nipo tayari kuendelea kumhudumia au kumchukua. Kigezo ninachotumia mimi ni kuwa tumetengana tangu 2008 na hakuna tendo la ndoa toka kipindi hicho ingawa ktk utetezi anasema aliondoka baada ya kusikia mimi nimeoa na nina mtoto
 
Katika suala la kugawana mali wakati mna watoto mimi sishauri. Kwa nini msiwamilikishe watoto mali zenu. Ili kila mmoja wenu akose. Mtafuteni mtu wa kati atakayesimamia mali hizo kwa manufaa ya watoto wenu
 
mkuu kutengana zaidi ya miaka 3 ni sababu tosha ndoa kuvunjwa. Achana na longolongo nyingine.
 
Ili ndoa ivunjwe lazima mahakama ijiridhishe ya kuwa hakuna njia nyingine ya kuwafanya muwe pamoja (irreparable breakdown of marriage), kuwa mbali toka 2008 ni moja ya sababu, ukatili pia ni justification kuwa ndoa yenu haiwezi kuendelea kuwapo!
 
kwa nini ulioa in first place, naona unasumbua sumbua watu na uongo uongo mwingi, mnasumbua tu huyo mtoto pia. unasahau njia ya mwongo ni fupi... Jipange upya rudiana na my wife wako maisha yaendelee.
 
huyo mtoto ulimpata kabla kumuoa huyo au? kwa wanandoa kutokaa miaka yote hyo tofauti tna bla kukutana kindoa ni tatizo.au huwa mnakutana? kma sivyo bas tumia zle sababu za kugombana pia huyo mke ni mbabaishi kukubal then anakataa ila je alikubal kimaandish?
 
broo hii mambo umetunga wewe,utetezi umefika sa ngap wakat ndo mko hatua za awali heee!. athar zake ni kwamba kama yeye ataomba itabid abaprove kma una ndoa nyngne na kma ni mkristu bas hamna ndoa hapo so atashindwa.ukiomba divorce wewe unaweza kushinda but mahakama inaweza ikaamua kumuorder yeye atimize wajibu wake yan hak ya unyumba.
 
hii ni proffessional za watu sa wewe unadanganya unafanya kama riwaya rejeo mtu hulipi hta kidogo.hem iheshm hii kaz za watu pia tunatumia muda kujb hyo maswal so jirekebishe. Kama hatakuja utapewa muongozo wa kuthibitisha kwa upande mmoja ( exparte).tumia sababu za kukorofishana ili ushinde pia omba umtunze mtoto kama utapenda,usiseme kma una watoto wengine nje ya ndoa.

"Hii ni proffesional za watu" kiingereza hiki jamanni..!!!
 
Mkuu LLB nashukuru. Yote haya ni kwa kuwa sheria si fani yangu. Bahati mbaya sana mtoto nilishamtamka katika maelezo yangu kule baraza la usuluhishi. Da hii imekula kwangu. Ila naweza kataa

mkkuu kisiwa pole sana huku tarajia makapi ;mabua etc soma kinachokusaidia fanyia kazi si wote wana huzun yaliokykyta
 
Last edited by a moderator:
haya mkuu ila ndo uliloliona tu kat ya hyo yote! smtym ni haraka tu ktk kuandika ila is not fatal to the whole comment is curable
 
Ungekuwa dar kitu cha dk 2222 ilo la bk atakutesa wanachofanya n kucheza na hakimu wanaairisha unarudi tena na mbaya wanaweza kukuleta 2times kwa mwezi ila ungekuwa Dar br wala isingekusumbua;n kazi ya hakimu kisheria n miaka 2 ndio waruhusiwa kuvunja hakm anauwezo huo cha kukusaidia kwenye sababu ongeza alishawah kukuchapa makofi aman ikatoweka ukaona maisha yaki yako hatian unatoka br
 
Mkuu wanachoangalia sana sana hapa ni sababu za kutokuwa na aman kati yenu so lazima ujiandae infact nimeanza mbali kinachitakiwa ukienda tena mahakaman tafta namba ya hakimu hata kwa kuhonga pp hapo kuwa muwazi kwake we mtu mzima then unamwachia atoe maamuzi
 
dah kuhonga tena pccb wanapinga wewe unaendeleza.mi nakataaa kutoa hongo coz tunapiga vita xana pia cha msingi ni haki kutendeka na ionekane ikitendeka .sababu zipo za kutosha c mpaka hongo utanunua haki yko bure bila kujua pia we mwenyewe pinga kabisa rushwa.
 
Back
Top Bottom