The Intelligent
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 2,459
- 824
Habari wana-education kuna kijana ameniomba nimpe msaada wa kumwezesha kurudia mtihani wake wa o level baada ya kupata matokeo yasiyomridhisha, hivyo nauliza kama mpaka sasa utaratibu wa kujiunga necta upo au amechelewa? kama upo je gharama za kujiunga bei gani? na vituo je vya kufanyia mtihani navyo vinapatikana? bei yake je?
Shukrani wakuu.
Shukrani wakuu.