Kivule
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 639
- 662
Habarini ndugu, poleni na majukumu ya kila siku. Mimi nilikua naomba mnifahamishe vitu ambavyo mwanafunzi anatakiwa avifanye endapo amechaguliwa chuo fulani na amepata mkopo lakini hataki kusoma iyo kozi ivo anataka afanye application upya mwakani, je afanyaje ili akiapply mwakani asije akaathiri kupata mkopo upya mwakani kama ana vigezo??? ahsanteni.