Mzalendo wa TZ
Member
- Sep 2, 2012
- 48
- 7
nenda kwa mkuu wako wa chuo, kuna form zinatolewa chuoni hapo za kuapeal, utazijaza na evidence za kutosha then unasubmit hapo ulipoelekezwa na mkuu wako baada ya kulipia pesa kidogo, majibu hyatatoka mtandaoni, ukiwa umeongezewa asilimia kadhaa mjulishe mkuu wako wa chuo kwa kuprint hayo majina na kumpelekeaNdug wanajukwaa naomba kujua kama kuna mtuambaye ameshafanikiwa kuappeal HESLB kwa sababu nimejitahidi sana kuappeal kwa kufuata maelekezo waliyotoa katika blog yao.Kama kuna mtu ambaye amefanikiwa kuappeal naomba anisaidie ni njia ipi aliyotumia
.Mimi cjapata kabisa hata 0% je hapo itawezekana kuappeal?nenda kwa mkuu wako wa chuo, kuna form zinatolewa chuoni hapo za kuapeal, utazijaza na evidence za kutosha then unasubmit hapo ulipoelekezwa na mkuu wako baada ya kulipia pesa kidogo, majibu hyatatoka mtandaoni, ukiwa umeongezewa asilimia kadhaa mjulishe mkuu wako wa chuo kwa kuprint hayo majina na kumpelekea
ndio inawezekana
Asante sana.
Na hizi habari wanazotangaza kuwa una appeal online zina ukweli? Yaani hapa hatuelewi kabisa.nenda kwa mkuu wako wa chuo, kuna form zinatolewa chuoni hapo za kuapeal, utazijaza na evidence za kutosha then unasubmit hapo ulipoelekezwa na mkuu wako baada ya kulipia pesa kidogo, majibu hyatatoka mtandaoni, ukiwa umeongezewa asilimia kadhaa mjulishe mkuu wako wa chuo kwa kuprint hayo majina na kumpelekea
Na hizi habari wanazotangaza kuwa una appeal online zina ukweli? Yaani hapa hatuelewi kabisa.