Mimi nataka kuwa nakopi matukio,historia,takwimu mbalimbali na makala halafu nazichapa kwa lugha ya kiswahili badala ya kiingereza kama vijarada na kuviuza. Nauliza je kuna makosa ya keshiria kukopi taarifa mitandaoni kama google n.k halafu kuzichapa ? Nahitaji msaada wenu