Msaada kuhusu kupima DNA

Mahunda Jr

Member
Joined
Apr 5, 2020
Posts
74
Reaction score
83
Habari,

Nina mtoto wa mwaka 1.9 ambaye mama yake tuliachana ila kwa sasa anasema mtoto sio wangu.

Nimesitisha huduma zote na nataka kufanya mpango wa kudai gharama zangu za kumlea mpaka kufika hapo, ila najiuliza itakuwaje kama mtoto ni wangu?

Nikaona ni bora kupata kipimo cha DNA ila changamoto ni kuwa sijui naanzia wapi na garama ikoje

Mwanye uwelewa juu ya hili naomba msaada tafadhali...

Niko Moro mjini
 
N
Nicheki bobo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…