Msaada kuhusu kurudia mtihani wa kidato cha nne

Hamna Mkuu ,
Vyeti vyote vinatambulika ndo hasa lengo la kurudia mtihani. Ili kutafta kilicho Bora hila ukikosa unakausha tu
Thanks! Kwenye matokeo yangu kuna F 2 ya MATH na GEO huwa zinanipa kinyaa sana.
Huwa nafikiria kuziondoa ila mwakani nina mpango wa kuacha kazi nifanye mambo mengine, sasa nafikiria nirisiti ili iweje?
Ila kuishi na hili zigo naonaga linanichosha ingawa hajui mtu.
 
Kwanini wengi wanaorudia mitihani wana feli sana?

Yaani kuona one ya PC ni mbinde sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukran mzee maelekezo yako yanafaida nyingi Sana mola akubarik sana
 
Anayerudia mtihani hawezi akarudia masomo yote saba au nane ili kuweza kupangiwa division! mara nyingi unakuta anarudia masomo matano kushuka chini

sasa ktk mazingira hayo, huwezi kupewa division
Kwahiyo mkuu yale matokeo tunayoonaga pc wamefeli sana, kiukweli kabisa baadhi yao wanakua hawajafeli masomo wanayorudia!?
 
pia kama wahitaji msaada zaidi, nicheki 0679 168 264
Vipi anaetaka kufuta D yake moja ana uhakika atapata hata C au B anaruhusiwa kufanya mtihani mmoja? Vipi division ile ya zamani inabaki ile ile au inapanda?
 
Ukifanya ukafaulu, vipi ile division ya kwanza inabadilka au inabak ileile? Mfano mtu alkua na II ya 18 then afanye mtihani mmoja apata mfano A au B, division ile ya mwanzo inabak au anakua kapata division I kwa sababu ya somo alilorudia na akafaulu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…