Msaada kuhusu kutoboka meno mara kwa mara

Broxine

Member
Joined
Dec 23, 2016
Posts
29
Reaction score
20
habari zenu ndg,
Nina tatizo la meno kutoboka mara kwa mara na nimekuwa nikiziba lakini bado tatizo linajirudia kila baada ya miezi mitatu.
Naomba munisaidie kwa ushauri na tiba ili niondokane na tatizo hili.
Natanguliza shukrani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…