Ukizima ukiwasha inakuja hivyo hivyo? Jaribu ku connect na monitor ya njeNina Laptop yangu aina ya HP nilikuwa nimeiacha chaji nimerudi nakuta Kioo kinaonyesha Rangi nyeupe tu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Nimejaribu kuirekebisha nimeshindwa Wataalamu tatizo ni nini jamani??[emoji24][emoji24] Na solutiom yake Je..?? Anejua anisaidie Wakuu Nimeweka picha ya Jinsi inavyoonekana hapo chiniView attachment 1199923