Hiyo siyo kweli mkuu.
Hata ukiwa hauna kitambulisho,ukiwa na password ya kuweza kutuma float kwenda kwenye till ya Branch husika ili upewe cash utalipwa tu bila wasi wasi.
Hiyo siyo kweli mkuu.
Hata ukiwa hauna kitambulisho,ukiwa na password ya kuweza kutuma float kwenda kwenye till ya Branch husika ili upewe cash utalipwa tu bila wasi wasi.
Ni kweli kwa bank wanasumbua sana kama jina la till na la kwenye kitambulisho ni tofauti,cha msingi mtafute wakala mkuu(super dealer) hapo utaweza kutoa bila shida maana wao wanajua kuna watu wanatumua line sio zao.