Theodore Bagwell
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 940
- 225
Msaada kwa wadau wanaofanya biashara hii. Hivi kila muala unapofanyika wakala anapata asilimia ngapi? Nafikiria kufanya biashara hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natumia kimchana angalia hapa imekaa roughly. New commisions(exclusive of VAT) wakala unapata/agent85% wakala mkuu anapata/aggregator15% commision ya deposit commision/mteja akiweka hela ntatumia alama''@'' halafu commision ya kuwithdraw/kutoa hela ntatumia alama''§'' 1,000-9,999=@137>§223 then 10,000-19,000=@171>§334 then 20,000-49,999=@205>§372 then 50,000-99,999=@343>§447 then 100,000-199,999=@480>§670 then 200,000-299,999=@686>§1,117 then 300,000-399,999=@1,029>§1,491 then 400,000-499,999=@1,372>§1,863 then 500,000 to infenity/na zaidi=@1,525>§2,070 kumbuka kwamba kwenye faida wewe unachukua 85% halafu TRA bado hawajachungulia. Kama una pc comment xangu itengenezee table ili ieleweke kiurahisi kwa manufaa ya wengine.
Ansante mkuu kwa ufafanuzi mzuri. Mi mwenyewe natumia kamchina