Natumia kimchana angalia hapa imekaa roughly. New commisions(exclusive of VAT) wakala unapata/agent85% wakala mkuu anapata/aggregator15% commision ya deposit commision/mteja akiweka hela ntatumia alama''@'' halafu commision ya kuwithdraw/kutoa hela ntatumia alama''§'' 1,000-9,999=@137>§223 then 10,000-19,000=@171>§334 then 20,000-49,999=@205>§372 then 50,000-99,999=@343>§447 then 100,000-199,999=@480>§670 then 200,000-299,999=@686>§1,117 then 300,000-399,999=@1,029>§1,491 then 400,000-499,999=@1,372>§1,863 then 500,000 to infenity/na zaidi=@1,525>§2,070 kumbuka kwamba kwenye faida wewe unachukua 85% halafu TRA bado hawajachungulia. Kama una pc comment xangu itengenezee table ili ieleweke kiurahisi kwa manufaa ya wengine.