Mkuu nimekupata bt vipi hapa tz inakubarika si unajua tena
makerere aliposoma nyerere,,, Kama father house mzee nyerere Kapita huko basi jamaa wako juu,,, kweli yawezekana mkuu anazingua kisa alishindwa kwenda makerere, maana enzi hizo best students wanaenda makerere wanaobaki ndo wanakuwa enrolled udsm,,,,