Mambo vp wakuu shikamoni
Kama kuna mtu anayajua mafuta ya kupaka kwa ajili ya wanaume yatakayofanya sura yangu kidog iwe smart maana sina matunzo sa hivi kidg maisha yangu yameninyookea pamba za kutosha nnazo sema natumia baby care ko kama kuna mtu anayajua mafuta mazuri hata ya gharama pia sawa naombeni mnitajie wakuu ntashkuru sana
#yunGtempeR
yes bishoo haswaaa