Msaada kuhusu malipo UDOM

Msaada kuhusu malipo UDOM

Joined
Jul 30, 2012
Posts
37
Reaction score
6
Kwa wale mnaosoma au mliochaguliwa UDOM naombeni mnisaidie kwa hili,

Hadi sasa nimepata sh 282,500 za direct cost na wanasema deadline ni tarehe 30 sept.

Je nikilipa ada baada ya deadline wataipokea? Na

Je kama nikishindwa kulipa hyo ada inayobak ukitoa bodi wanayonilipia wataweza kunisajili kwa kulipa direct costs tu?

Ni hayo tu, naombeni mnisaidie
 
Usiogope pale udom wanasema HAMNA KITU KINACHO ITWA DEADLINE. Kilakitu kina wezekana muda wowote.... Nakwa namna yoyote
Note: source My young cc
 
Nakushauri kwanza kalipe hiyo 282,500 kabla ya 30sep kuhusu Ada utalipa kabla hujakwenda chuo coz hiyo direct cost ni kwaajili ya maandalizi yako.
 
mbona mimi silipi kitu!! kwasababu kwetu kuna NMB pekeake ntalipa nikienda Dodoma mjini.
 
Mmh haya ,ila hawa jamaa wana mikwara ngoja tuone, ila nimefanikiwa kulipa 282,500
 
thn jamani ada kama unamkopo b4 ujaenda chuo siinawezekana kutoa ata kidogo;;;;sababu natakakutumia ma tution feez thn nitairudishia nikishafka chuo;;so haita sumbua on regstn day;;
 
thn jamani ada kama unamkopo b4 ujaenda chuo siinawezekana kutoa ata kidogo;;;;sababu natakakutumia ma tution feez thn nitairudishia nikishafka chuo;;so haita sumbua on regstn day;;

Ngoja tusubiri wadau watasemaje
 
Hiyo deadline ni mkwara tu, kikubwa wakati wa registration uwe umelipa kila kitu otherwise watakuambia ukalipe kwanza ndo usajiliwe. Mimi nilipoenda kuanza first year nilikuwa sijalipa chochote nikalipia Dodoma, tsh 1000 ikapungua, sikusajiliwa hadi ilipolipwa
 
daaiyo iliopungua ni kwenye ada ama direct cost;;mbna watu wengine wana sema ada unaweza isitoe but direct coast zina umuhimu sana;;;;;
 
Watapokea tu.Hata ukilipa ada nusu wanapokea.Ila kwenye upande wa accomodation ningekushauri ulipe ya nusu semester.Kwa sababu kuna wakati wanapunguza siku za kukaa semester then inakuwa kwa wao kuwarudishia hela iliyozidi.
 
Kwa wale mnaosoma au mliochaguliwa UDOM naombeni mnisaidie kwa hili,

Hadi sasa nimepata sh 282,500 za direct cost na wanasema deadline ni tarehe 30 sept.

Je nikilipa ada baada ya deadline wataipokea? Na

Je kama nikishindwa kulipa hyo ada inayobak ukitoa bodi wanayonilipia wataweza kunisajili kwa kulipa direct costs tu?

Ni hayo tu, naombeni mnisaidie

hv ada na direct cost unalipia kwenye akaunt moja?
 
hv ada na direct cost unalipia kwenye akaunt moja?

nakushauri tembelea kwenye UDOM WEBSITE then nenda hadi kwenye ALIS kisha download fee structure kutoka kwenye admission letter yako, humo kila kitu utakiona mkuu
 
Back
Top Bottom