Msaada kuhusu maombi ya Chuo Kikuu mwaka huu

Rabi's-son

Member
Joined
May 19, 2014
Posts
24
Reaction score
17
Nmeaplai mwaka jana chuo kikuu nmepangiwa ila nkakosa mkopo nimeaplai upya mwaka huu nambiwa nidhitishe kwanza mm co mwanafunzi wa chuo nlchopangiwa mwaka jana, naombeni wandugu mnisaidie cha kufanya hapa.
 
Mkuu km unafahamu tujuze coz tupo wengi wenye matatizo km hayo
 
unatakiwa uende tcu kama ulisajiliwa kuna barua ya kuahirisha masomo uliandka chuo ndo hyo if not nenda watakuelekeza cha kufanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…