nimechafukwa
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 288
- 230
mm ni mfanyabiashara wa simu(simu za kichina) mjini Arusha..sasa TRA washaaza kusumbua tena wanataka wanijumuishe kwa VAT...Nashindwa kuelewa hata wakinielezea sielewi Mara nackia input tax mara cjui output mwezenu nimeishia darasa la 8 la mwaka 80...kwa anaelewa faida na hasara zake naomba anijulishe(maelezo yawe mepesi yasiochanganya kama Ya TRA)..