Msaada kuhusu matumizi ya dawa za pep

GeofK

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2021
Posts
965
Reaction score
1,217
Habari zenu wataalamu, nimekunywa dozi ya PEP kwa siku 23 mfululizo, nilipoteza vidonge 5, jana usiku sijakunywa. Nili-google kuhusu mazingira hayo ya matumizi ya PEP, jibu nilikutana nalo n kuwa hayapaswi kuzidi masaa 24 toka nilipoharibu dozy, pia nnataka leo mchana niende kituo cha CTC wanakotoa hizi PEP ili nimalizie dawa zilizobaki.
Naomba ushauri zaidi kuhusu hilo
 
Ulipotezaje mkuu vidonge mbona haupo serious, mimi nanavyojua hiyo dozi lazima ikamilike kwa siku 28 tofauti na hapo wale virus lazima waibuke kwenye damu
 
Ulipotezaje mkuu vidonge mbona haupo serious, mimi nanavyojua hiyo dozi lazima ikamilike kwa siku 28 tofauti na hapo wale virus lazima waibuke kwenye damu
Nilienda jana kituo cha CTC Jana mchana, nikapewa dawa nyingine 7 za kumalizia dozi, nilipitiliza masaa 14, lakini nna amini niko negative
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…