Msaada kuhusu mchakato wa kusajili cbo

kibavu

Senior Member
Joined
Oct 15, 2008
Posts
136
Reaction score
82
Habari Za mchana wana jamvi? Nipo kwenye mchakato wa kuanzisha Comunity Based Organization (CBO), Ombi langu ni kwamba ninahitaji msaada wa mambo ya msingi na hatua za kufuata wakati wa usajili wa Community Based Organization (CBO).
Asante
Naomba Kuwasilisha
 
Nena halmashaur iliyo karibu yako. Muone m2 anayeitwa Afsa maendeleo wa wilaya. Yeye atakuelekeza kila kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…