Msaada kuhusu mikopo ktk benki zetu..

Crdb wana unafuu kidogo. NBC usijaribu hao ni hatari. Wana riba kubwa sana. Mfano ukikopa Tsh 1.8M utalipa Tsh 2.8M.
 
nmb wana mikopo mizuri ukijumuisha na straight line method ya installments tatizo lipo kwa kwa ma loan officers 1.wanapenda sana rushwa 2.wanamnyima mteja uhuru wa kuusoma ule mkataba na kuuelewa vizuri 3.kuwa makini na payment period unaweza omba miaka 3 wakakuwekea miaka 5 au wakakuwekea mitatu fresh bt but unakuta wanazidisha miezi kadhaa mbele baada ya mda unaotakiwa kupita.CRDB is the best bt hizo process ndio shida utafikiri unataka kukopa trilion.
 
Crdb wana unafuu kidogo. NBC usijaribu hao ni hatari. Wana riba kubwa sana. Mfano ukikopa Tsh 1.8M utalipa Tsh 2.8M.

mkuu NBC siku hizi siwaelewi kabisa juhudi za ziada na maombi yanahitajika unless watawafata baclays kuclose branch kadhaa.
 

malipo ya mkopo kwa kila mwezi i.e Scheduled payment = Principal + interest .
 
CRDB pia wanapiga watu penalty. Kama tarehe ya kulipia mkopo ni 25 na akaunti yako haina pesa siku hiyo, siku pesa ikiingia kwenye akaunti wao watakata pesa yao na cha juu pia.
 

Loan insurance fee hairudishwi bali inakusaidia wewe kama ukifa au ukipata matatizo mengine yatakayokufanya ushindwe kulipa, hutadaiwa.
 
Loan insurance fee hairudishwi bali inakusaidia wewe kama ukifa au ukipata matatizo mengine yatakayokufanya ushindwe kulipa, hutadaiwa.

Asante kwa ufafanuzi mkuu.
Naamini wamenufaika wengi kutokana na ufafanuzi wako.
 
Nmb mteja hachagui mda wa kurejesha.wameweka mda fixed kulingana na mkopo unaotaka.pata elim kwanza usikurupuke ucjejuta
 
Piga riba ya asilimia 19 kisha ujumlishe na huo mkopo, baadaye ugawe kwa miezi 12. hapo utapata rejesho lako kwa mwezi!! Sasa huo mshahara wako mwanangu mbona utalambwa wote!
 
Mh kwa mshahara huo mkuu huwezi pewa mkopo wa million 10, lazima uanzie chini ya hapo kama 2m kwanza then ukienda nao vizuri wanaenda wanaongeza
 
Mh kwa mshahara huo mkuu huwezi pewa mkopo wa million 10, lazima uanzie chini ya hapo kama 2m kwanza then ukienda nao vizuri wanaenda wanaongeza

Sasa mdogo wangu kamilioni 2 nako ni ka kukopea benk? mbona ni wehu huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…