Kifai
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 816
- 173
Habari zenu wataalamu wa jukwaa hili hapa, natumaini wote mu wazima wa afya tele!!!!!!! Mai wife ana ujauzito sasa wa takribani miezi sita sasa, ila tatizo amekuwa akienda haja ndogo kila mara, yani ndani ya nusu saa anaweza kwenda hata mara tano mpk saba, cjui tatizo nini, mwenye kujua naomba ushauri pls, asanteni na mungu awabariki