Habari zenu wataalamu wa jukwaa hili hapa, natumaini wote mu wazima wa afya tele!!!!!!! Mai wife ana ujauzito sasa wa takribani miezi sita sasa, ila tatizo amekuwa akienda haja ndogo kila mara, yani ndani ya nusu saa anaweza kwenda hata mara tano mpk saba, cjui tatizo nini, mwenye kujua naomba ushauri pls, asanteni na mungu awabariki
Habari zenu wataalamu wa jukwaa hili hapa, natumaini wote mu wazima wa afya tele!!!!!!! Mai wife ana ujauzito sasa wa takribani miezi sita sasa, ila tatizo amekuwa akienda haja ndogo kila mara, yani ndani ya nusu saa anaweza kwenda hata mara tano mpk saba, cjui tatizo nini, mwenye kujua naomba ushauri pls, asanteni na mungu awabariki
Hilo ni tatizo na linaweza kuwa ni UTI inamsumbua!, Mpeleke hospital mapema iwezekanavyo!
kaka mpeleke akafanye check up kwa hospital,maana ujauzi unamambo mengi,unaweza kusauriwa na mtu humu mpe kitu flan kumbe ndo chanzo cha kuharibia kwa ujauzito,Habari zenu wataalamu wa jukwaa hili hapa, natumaini wote mu wazima wa afya tele!!!!!!! Mai wife ana ujauzito sasa wa takribani miezi sita sasa, ila tatizo amekuwa akienda haja ndogo kila mara, yani ndani ya nusu saa anaweza kwenda hata mara tano mpk saba, cjui tatizo nini, mwenye kujua naomba ushauri pls, asanteni na mungu awabariki