salito JF-Expert Member Joined Dec 29, 2011 Posts 1,406 Reaction score 731 Jan 14, 2012 #1 wana jf na docta.hivi hizi mimba kila mwanamke anaweza kupandikiziwa?au kunamazingira yanaweza kusababisha ishindikane kwa wengine?na mwanamke aliepandikizwa mwili wake utatengeneza maziwa na atanyonyesha akizaa au?
wana jf na docta.hivi hizi mimba kila mwanamke anaweza kupandikiziwa?au kunamazingira yanaweza kusababisha ishindikane kwa wengine?na mwanamke aliepandikizwa mwili wake utatengeneza maziwa na atanyonyesha akizaa au?