msaada kuhusu mimba za kupandikizwa

salito

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2011
Posts
1,406
Reaction score
731
wana jf na docta.hivi hizi mimba kila mwanamke anaweza kupandikiziwa?au kunamazingira yanaweza kusababisha ishindikane kwa wengine?na mwanamke aliepandikizwa mwili wake utatengeneza maziwa na atanyonyesha akizaa au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…